Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Januari 19, 2025 Local time: 05:47

China inasema iko tayari kuzisaidia nchi za eneo la Pembe ya Afrika kupata amani na kuondokana na kile ilichokiita uingiliaji wa nje


China inasema iko tayari kuzisaidia nchi za eneo la Pembe ya Afrika kupata amani na kuondokana na kile ilichokiita uingiliaji wa nje
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mjumbe maalum wa China kwa Pembe ya Afrika Xue Bing alitoa maoni kwenye mkutano wa kwanza wa China juu ya utawala na maendeleo katika pembe ya Afrika unaofanyika nchini Ethiopia kwamba machafuko, mgawanyiko wa kikanda unaongezeka huku amani na maendeleo yanakabiliwa na upinzani

XS
SM
MD
LG