Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 12:35

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Macky Sall kukutana na Rais Putin


please wait

No media source currently available

0:00 0:04:00 0:00

Rais wa Senegal na mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika anatarajiwa kukutana leo Ijumaa mjini Moscow na Rais wa Russia Vladimir Putin. Je Sall atafaulu kumshawishi Putin kumaliza vita vya Russia huko Ukraine?

XS
SM
MD
LG