Kundi la wakimbizi nchini Afrika Kusini wamekuwa wakikita kambi mbele ya ofisi ya UNHCR tangu mwezi uliopita, wakiomba kuhamishiwa kwenye nchi nyingine, kwa sababu ya chuki inayoendelea dhidi ya wageni. Wakimbizi hao ni kutoka Burundi, Congo, Malawi na Rwanda.