Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:33

Wakimbizi nchini Afrika Kusini waomba kuhamishiwa nchi nyingine


Wakimbizi nchini Afrika Kusini waomba kuhamishiwa nchi nyingine
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kundi la wakimbizi nchini Afrika Kusini wamekuwa wakikita kambi mbele ya ofisi ya UNHCR tangu mwezi uliopita, wakiomba kuhamishiwa kwenye nchi nyingine, kwa sababu ya chuki inayoendelea dhidi ya wageni. Wakimbizi hao ni kutoka Burundi, Congo, Malawi na Rwanda.

XS
SM
MD
LG