Wakati June 16 ni siku ya mtoto wa Afrika, watoto na wanaharakati wa haki za watoto nchini Kenya, waitaka serikali kuzingatia changamoto zinazowakabili watoto, hasa wakati huu ambapo nchi hiyo inaelekea kwenye uchaguzi mkuu.
Wakati June 16 ni siku ya mtoto wa Afrika, watoto na wanaharakati wa haki za watoto nchini Kenya, waitaka serikali kuzingatia changamoto zinazowakabili watoto, hasa wakati huu ambapo nchi hiyo inaelekea kwenye uchaguzi mkuu.