Mkuu wa Baraza la Umoja wa mataifa la haki za binadamu Michelle Bachelet amesema atacha wadhifa wake kama Kamishna mkuu wakati muhula wake utakapokuwa umemalizika mwishoni mwa mwezi Agosti.
Mkuu wa Baraza la Umoja wa mataifa la haki za binadamu Michelle Bachelet amesema atacha wadhifa wake kama Kamishna mkuu wakati muhula wake utakapokuwa umemalizika mwishoni mwa mwezi Agosti.