Serikali ya Tanzania imeamua kuwekeza katika mipango ya maendeleo ya vijana kupitia ubunifu wakitaja wanataka kuruhusu mawazo mapya na mbadala ambayo yatachochea mapinduzi ya teknolojia , biashara na kukuwa kwa uchumi.
Serikali ya Tanzania imeamua kuwekeza katika mipango ya maendeleo ya vijana kupitia ubunifu wakitaja wanataka kuruhusu mawazo mapya na mbadala ambayo yatachochea mapinduzi ya teknolojia , biashara na kukuwa kwa uchumi.