Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 19:49

Wanajeshi wa Rwanda waliotekwa na jeshi la DRC waachiliwa huru


Wanajeshi wa Rwanda waliotekwa na jeshi la DRC waachiliwa huru
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wanajeshi wawili wa Rwanda waliotekwa na jeshi la DRC mwezi uliopita na kushutumiwa na mamlaka ya Congo kwa kuunga mkono mashambulizi ya waasi wameachiliwa huru kwa mujibu wa jeshi la Rwanda.

XS
SM
MD
LG