Waziri wa Elimu wa Tanzania ameviagiza vyuo vikuu kuanza mchakato wa kubuni mtaala ambao unazingatia zaidi taaluma na ujuzi badala ya masomo tu ya kawaida, huku wakososaji wakisema mtaala kama huo katika shule za msing bado haujatekelezwa.
Waziri wa Elimu wa Tanzania ameviagiza vyuo vikuu kuanza mchakato wa kubuni mtaala ambao unazingatia zaidi taaluma na ujuzi badala ya masomo tu ya kawaida, huku wakososaji wakisema mtaala kama huo katika shule za msing bado haujatekelezwa.