Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 01:25

Mfalme Philippe wa Ubelgiji anasema nchi yake imesababisha maumivu, udhalilishaji na ubaguzi wa rangi kwa Congo


Mfalme Philippe wa Ubelgiji anasema nchi yake imesababisha maumivu, udhalilishaji na ubaguzi wa rangi kwa Congo
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Katika hotuba yake nje ya bunge la Congo Philippe alielezea majuto ambayo aliyaelezea kwa mara ya kwanza miaka miwili iliyopita juu ya utawala wa kikatili wa kikoloni wa Ubelgiji enzi ambayo wanahistoria wanasema ilishuhudia mamilioni ya watu wakipoteza maisha yao

XS
SM
MD
LG