Kutokana na hali hiyo maafisa wa Ustawi wa Jamii kutoka Mwanza wamezindua program ya kuhamasisha wanafunzi kuhusu usalama wao na namna ya kuwasilisha ripoti iwapo wako hatarini.
Kutokana na hali hiyo maafisa wa Ustawi wa Jamii kutoka Mwanza wamezindua program ya kuhamasisha wanafunzi kuhusu usalama wao na namna ya kuwasilisha ripoti iwapo wako hatarini.