Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 18:07

Visa vya ukatili wa kingono dhidi ya watoto pamoja na mauaji ya wapenzi na wanandoa vimeongezeka sana katika siku ya karibuni.


Visa vya ukatili wa kingono dhidi ya watoto pamoja na mauaji ya wapenzi na wanandoa vimeongezeka sana katika siku ya karibuni.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kutokana na hali hiyo maafisa wa Ustawi wa Jamii kutoka Mwanza wamezindua program ya kuhamasisha wanafunzi kuhusu usalama wao na namna ya kuwasilisha ripoti iwapo wako hatarini.

XS
SM
MD
LG