Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 09:27

Mabalozi wa kigeni nchini Burundi walalamikia haki ya kudorora kwa haki za binadamu.


Mabalozi wa kigeni nchini Burundi walalamikia haki ya kudorora kwa haki za binadamu.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mabalozi hao ambao miongoni ni kutoka Marekani miongoni mwa mataifa mengine wamekutana na waziri wa mambo ya kigeni wa Burundi na kulalamikia rasmi ukosefu wa haki za kibinadamu, suala ambalo amekanusha na kusema kwamba ni tetesi za uongo kutoka baadhi ya asasi za kiraia.

XS
SM
MD
LG