Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ameamuru makamu wake na maafisa wengine wa ngazi ya juu wafanyiwe uchunguzi kuhusu kashfa ya ufisadi inayohusiana na mfanyabiashara Muingereza mwenye asili ya Malawi.
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ameamuru makamu wake na maafisa wengine wa ngazi ya juu wafanyiwe uchunguzi kuhusu kashfa ya ufisadi inayohusiana na mfanyabiashara Muingereza mwenye asili ya Malawi.