Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Januari 26, 2025 Local time: 13:06

Rwanda yaonya kuwa itajibu mashambulizi ya uchokozi kutoka DRC


Rwanda yaonya kuwa itajibu mashambulizi ya uchokozi kutoka DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Serikali ya Rwanda imeonya kwamba itakuwa tayari kujibu mashambulizi kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, endapo kile inachokitaja kama uchokozi wa kupigwa makombora na jirani yake utaendelea.

XS
SM
MD
LG