Viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya katika mkutano wao wa Jumatatu mjini Brussels wameshindwa kuafikiana juu ya marufuku dhidi ya mafuta ya Russia, huku Hungary ikionekana kutounga mkono marufuku hiyo.
Viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya katika mkutano wao wa Jumatatu mjini Brussels wameshindwa kuafikiana juu ya marufuku dhidi ya mafuta ya Russia, huku Hungary ikionekana kutounga mkono marufuku hiyo.