Ripoti kutoka kwenye jimbo hilo zinasema kwamba kufikia Jumatatu watu 50 wameuwawa kwenye mapigano hayo kati ya vikosi vya serikali na kundi la waasi la M23.
Ripoti kutoka kwenye jimbo hilo zinasema kwamba kufikia Jumatatu watu 50 wameuwawa kwenye mapigano hayo kati ya vikosi vya serikali na kundi la waasi la M23.