Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Desemba 09, 2023 Local time: 11:33

Mapigano makali yaendelea kwenye jimbo la Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.


Mapigano makali yaendelea kwenye jimbo la Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Ripoti kutoka kwenye jimbo hilo zinasema kwamba kufikia Jumatatu watu 50 wameuwawa kwenye mapigano hayo kati ya vikosi vya serikali na kundi la waasi la M23.

XS
SM
MD
LG