Rais Joe Biden alitia saini amri ya kiutendaji Jumatano kuboresha uwajibikaji katika jeshi la polisi. Hii inajiri katika kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd aliyeuwawa na Polisi huko Minnesota .
Rais Joe Biden alitia saini amri ya kiutendaji Jumatano kuboresha uwajibikaji katika jeshi la polisi. Hii inajiri katika kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd aliyeuwawa na Polisi huko Minnesota .