Rais wa Marekani Joe Biden Jumatatu amesaini amri ya kiutendaji ambayo anasema italeta uwajibikaji zaidi na ufanisi kwa polisi na sheria ya makosa ya jinai katika kumbukumbuku ya mwaka wa pili wa mauaji ya George Floyd M-marekani mweusi aliyeuawa katika jimbo la Minnnesota na afisa polisi mzungu