Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 04:40

Rais Biden amesaini amri ya kiutendaji ambayo italeta uwajibikaji zaidi kwa polisi na sheria ya makosa ya jinai


Rais Biden amesaini amri ya kiutendaji ambayo italeta uwajibikaji zaidi kwa polisi na sheria ya makosa ya jinai
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden Jumatatu amesaini amri ya kiutendaji ambayo anasema italeta uwajibikaji zaidi na ufanisi kwa polisi na sheria ya makosa ya jinai katika kumbukumbuku ya mwaka wa pili wa mauaji ya George Floyd M-marekani mweusi aliyeuawa katika jimbo la Minnnesota na afisa polisi mzungu

XS
SM
MD
LG