Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 13:43

Jaji Mkuu Kenya aonya wazazi wanaozishtaki shule


Jaji Mkuu Kenya aonya wazazi wanaozishtaki shule
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Muungano wa wazazi nchini Kenya umesema haujaridhishwa na kauli ya Jaji Mkuu Martha Koome kuwaonya wazazi wenye tabia ya kuwashtaki walimu pamoja na shule baada ya watoto wao kufukuzwa shuleni kwa utovu wa nidhamu na uvunjaji wa sheria za shule

XS
SM
MD
LG