Muungano wa wazazi nchini Kenya umesema haujaridhishwa na kauli ya Jaji Mkuu Martha Koome kuwaonya wazazi wenye tabia ya kuwashtaki walimu pamoja na shule baada ya watoto wao kufukuzwa shuleni kwa utovu wa nidhamu na uvunjaji wa sheria za shule
Muungano wa wazazi nchini Kenya umesema haujaridhishwa na kauli ya Jaji Mkuu Martha Koome kuwaonya wazazi wenye tabia ya kuwashtaki walimu pamoja na shule baada ya watoto wao kufukuzwa shuleni kwa utovu wa nidhamu na uvunjaji wa sheria za shule