Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 20, 2026 Local time: 22:00

Wakenya wahamasika zaidi baada ya kutangazwa wagombea wenza


Wakenya wahamasika zaidi  baada ya kutangazwa wagombea wenza
please wait

No media source currently available

0:00 1:00:00 0:00

Nchini Kenya joto la kisiasa linaendelea kupanda hasa baada ya wagombea urais kutangaza wagombea wenza wao . Katika mjadawa wa moja kwa moja wachambuzi wanaeleza wananchi wameonekana kuhamasika zaidi.

XS
SM
MD
LG