Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 19:41

Hisia mseto baada ya jeshi la Uganda kusema litaondoka Mashariki mwa DRC


Hisia mseto baada ya jeshi la Uganda kusema litaondoka Mashariki mwa DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Kufuatia kauli za mkuu wa jeshi la ardhini la Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugamba kwamba wanajeshi walio katika nchi jirani ya DRC watarejea nyumbani ndani ya kipindi cha wiki mbili, hisia mseto zimeibuka.

XS
SM
MD
LG