Kufuatia kauli za mkuu wa jeshi la ardhini la Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugamba kwamba wanajeshi walio katika nchi jirani ya DRC watarejea nyumbani ndani ya kipindi cha wiki mbili, hisia mseto zimeibuka.
Kufuatia kauli za mkuu wa jeshi la ardhini la Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugamba kwamba wanajeshi walio katika nchi jirani ya DRC watarejea nyumbani ndani ya kipindi cha wiki mbili, hisia mseto zimeibuka.