Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Oktoba 04, 2023 Local time: 16:22

Vijana wa Burundi waanzisha mradi wa kuitangaza nchi yao kimataifa


Vijana wa Burundi waanzisha mradi wa kuitangaza nchi yao kimataifa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kikundi kimoja cha vijana nchini Burundi, kimezindua mradi wa kitaifa, uitwao #VisitBurundi unaolenga kuwavutia watalii wa kimataifa, ili kutembelea maeneo mbalimbali ya taifa hilo la Afrika Mashariki, ambalo lina sifa ya moja ya nchi maskini Zaidi duniani, zilizogubikwa na mizozo.

XS
SM
MD
LG