Rais Joe Biden Jumanne alitembelea mji wa Buffalo katika jimbo la New York, ambako alitoa heshima kwa watu 10 wengi wao Wamarekani weusi, waliouawa mwishoni mwa Jumaa katika shambulio lililotajwa kuwa la kibaguzi.
Rais Joe Biden Jumanne alitembelea mji wa Buffalo katika jimbo la New York, ambako alitoa heshima kwa watu 10 wengi wao Wamarekani weusi, waliouawa mwishoni mwa Jumaa katika shambulio lililotajwa kuwa la kibaguzi.