Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 15:11

Itikadi kali ya ubaguzi wa rangi ni sumu kwa Marekani, Biden anasema


Itikadi kali ya ubaguzi wa rangi ni sumu kwa Marekani, Biden anasema
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Rais Joe Biden Jumanne alitembelea mji wa Buffalo katika jimbo la New York, ambako alitoa heshima kwa watu 10 wengi wao Wamarekani weusi, waliouawa mwishoni mwa Jumaa katika shambulio lililotajwa kuwa la kibaguzi.

XS
SM
MD
LG