Changamoto za uchimbaji wa madini katika ukanda wa Afrika Mashariki zimekuwa donda sugu kwa miongo kadhaa sasa huku mingi ya mikataba inayotiwa saini na wadau ikiendelea kuibua utata mkubwa. Nini kiini cha mizozo hii na inaweza kutatuliwaje?
Changamoto za uchimbaji wa madini katika ukanda wa Afrika Mashariki zimekuwa donda sugu kwa miongo kadhaa sasa huku mingi ya mikataba inayotiwa saini na wadau ikiendelea kuibua utata mkubwa. Nini kiini cha mizozo hii na inaweza kutatuliwaje?