Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 06:37

Hisia mseto zatolewa baada ya mwanamke kuteuliwa kuwa mgombe mwenza wa urais nchini Kenya


Hisia mseto zatolewa baada ya mwanamke kuteuliwa kuwa mgombe mwenza wa urais nchini Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Bi Martha Karua, ambaye aliwania urais mwaka wa 2013, ameteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga, anayepeperusha bendera ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, baada ya siku nyingi za mivutano ya kisiasa katika muungano huo.

XS
SM
MD
LG