Wanachama 19 waliokuwa wabunge wa viti maalumu CHADEMA wavuliwa ubunge. Ziara ya rais wa Tanzania, Samia Hassan nchini Uganda yawezesha mikataba mbalimbali kufikiwa. Waziri Matiang'i asema asilimia 40 ya wagombea Kenya ni wahalifu wa kutakatisha fedha.