Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 21:07

Mapigano yanaendelea kati ya Jeshi la DRC na waasi wa M23


Mapigano yanaendelea kati ya Jeshi la DRC na waasi wa M23
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:45 0:00

Mapigano yanaendelea Rutshuru nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, kati ya waasi wa M23 na jeshi la serikali karibu na Mpaka wa Uganda na DRC pembeni ya mbuga ya wanyamapori ya Virunga.

XS
SM
MD
LG