Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:45

Tanzania: Wanawake 19 waliovuliwa uanachama na chama cha Chadema wapuzilia mbali hatua hiyo


Tanzania: Wanawake 19 waliovuliwa uanachama na chama cha Chadema wapuzilia mbali hatua hiyo
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Hatua ya kutupilia mbali rufaa ya wanawake 19 waliovuliwa uanachama na chama cha upinzani cha Tanzania, Chadema, imetajwa na baadhi yao kama ya kiuhuni huku naye mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akisesema wao ndio wahuni.

XS
SM
MD
LG