Hatua ya kutupilia mbali rufaa ya wanawake 19 waliovuliwa uanachama na chama cha upinzani cha Tanzania, Chadema, imetajwa na baadhi yao kama ya kiuhuni huku naye mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akisesema wao ndio wahuni.
Hatua ya kutupilia mbali rufaa ya wanawake 19 waliovuliwa uanachama na chama cha upinzani cha Tanzania, Chadema, imetajwa na baadhi yao kama ya kiuhuni huku naye mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akisesema wao ndio wahuni.