Maafisa wa serikali ya Kenya wanasema marufuku iliyowekwa ya kutotoka nje katika jimbo la Marsabit imeanza kuleta tija huku silaha mbaimbali zikinaswa na kupelekea hali ya matumaini ya kuimarisha usalama uliokuwa umezorota.
Maafisa wa serikali ya Kenya wanasema marufuku iliyowekwa ya kutotoka nje katika jimbo la Marsabit imeanza kuleta tija huku silaha mbaimbali zikinaswa na kupelekea hali ya matumaini ya kuimarisha usalama uliokuwa umezorota.