Mwanaharakati Doreen Moraa Moracha anaeleza kuwa vijana wengi wana taarifa juu ya mapambano na UKIMWI lakini bado wanakosa kupata vifaa kinga ikiwa ni pamoja na mipira ya kondom na hayo yanapelekea maambukizi kuongezeka kati ya umri uliotajwa wa miaka 15 hadi 24.