Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:31

Wizara ya afya Kenya yataja maambukizi ya VVU yameongezeka miongoni mwa vijana


 Wizara ya afya Kenya yataja maambukizi ya VVU yameongezeka miongoni mwa vijana
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mwanaharakati Doreen Moraa Moracha anaeleza kuwa vijana wengi wana taarifa juu ya mapambano na UKIMWI lakini bado wanakosa kupata vifaa kinga ikiwa ni pamoja na mipira ya kondom na hayo yanapelekea maambukizi kuongezeka kati ya umri uliotajwa wa miaka 15 hadi 24.

XS
SM
MD
LG