Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Juni 18, 2025 Local time: 15:36

Spika wa Bunge la Kenya Justin Muturi ametupilia mbali stakabadhi zilizowasilishwa bungeni kuhusu William Ruto na unyakuzi wa ardhi


Spika wa Bunge la Kenya Justin Muturi ametupilia mbali stakabadhi zilizowasilishwa bungeni kuhusu William Ruto na unyakuzi wa ardhi
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Mbunge wa jimbo la Wajir Fatuma Gedi aliwasilisha hati za ushahidi bungeni akimhusisha Naibu Rais William Ruto na unyakuzi wa ardhi katika maeneo mbalimbali nchini Kenya huku spika akisema hati hizo zinakosa kukidhi kiwango kilichowekwa na sheria cha kuruhusiwa kukubalika kuwa ushahidi

XS
SM
MD
LG