Mbunge wa jimbo la Wajir Fatuma Gedi aliwasilisha hati za ushahidi bungeni akimhusisha Naibu Rais William Ruto na unyakuzi wa ardhi katika maeneo mbalimbali nchini Kenya huku spika akisema hati hizo zinakosa kukidhi kiwango kilichowekwa na sheria cha kuruhusiwa kukubalika kuwa ushahidi