Leo Aprili 25, 2022 ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Malaria duniani, tunaangazia kwa undani zaidi hali ya ugonjwa huo katika ukanda wa maziwa makuu kwa kutathmini na kuzungumza na wataalam wa matibabu na wachambuzi mbalimbali.
Leo Aprili 25, 2022 ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Malaria duniani, tunaangazia kwa undani zaidi hali ya ugonjwa huo katika ukanda wa maziwa makuu kwa kutathmini na kuzungumza na wataalam wa matibabu na wachambuzi mbalimbali.