Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 10:43

Wanamgambo washambulia gereza Burkina Faso, wawaachilia wafungwa 60


Wanamgambo washambulia gereza Burkina Faso, wawaachilia wafungwa 60
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wanamgambo wamewaachilia takriban wafungwa 60 katika shambulizi kwenye gereza moja iliyoko kaskazini magharibi mwa Burkina Faso usiku wa kuamkia Jumapili, na kupora ofisi na kuchoma moto magari kabla ya kukimbia, wamesema hayo maafisa wawili wa usalama pamoja na chanzo cha mahakama.

XS
SM
MD
LG