Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:52

Wadau wataka vijana kupewa elimu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii


Wadau wataka vijana kupewa elimu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kufuatia matumzi mabaya ya mitandao ya kijamii hususan kwa vijana, imeelezwa kwamba elimu ya matumizi sahihi ya mitandao hiyo inatakiwa kutolewa ikiwemo fursa zinazopatikana kwenye mitandao ikiwa ni pamoja na ajira na biashara.

XS
SM
MD
LG