Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 03:41

Erik ten Hag ateuliwa kuwa meneja mpya wa Manchester United


Erik ten Hag ateuliwa kuwa meneja mpya wa Manchester United
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:01 0:00

Manchester United wamemteua Erik ten Hag, Mholanzi anayeaminiwa kocha bora kabisa hivi sasa ulimwenguni kuwa meneja mpya na amekubali kusaini mkataba wa miaka mitatu.

XS
SM
MD
LG