Makampuni na mashirika ya kutoa mikopo Uganda yanashutumiwa na wamiliki wa bodaboda kwa kile kinachoelezewa kama kupandiswha kiholela riba zinazotozwa wanapolipa mikopo ya pikipiki zao.
Makampuni na mashirika ya kutoa mikopo Uganda yanashutumiwa na wamiliki wa bodaboda kwa kile kinachoelezewa kama kupandiswha kiholela riba zinazotozwa wanapolipa mikopo ya pikipiki zao.