Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 09:59

Kenya : wafanyakazi wa nyumbani Mashariki ya kati wapewa mafunzo kuhusu haki zao


Kenya : wafanyakazi wa nyumbani Mashariki ya kati wapewa mafunzo kuhusu haki zao
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wizara ya kazi ya Kenya imeamua kutoa mafunzo kwa wafanyakazi hao baada ya ripoti za unyanyasaji, ubakaji na vipigo dhidi yao. Wafanyakazi 23 walifariki tangu mwezi Novemba mwaka jana, vifo vingi vikiwa vilitokea Saudi Arabia.

XS
SM
MD
LG