Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:12

Rasimu iliyovuja kuhusu sheria ya utoaji mimba Marekani yaibua utata mkubwa


Rasimu iliyovuja kuhusu sheria ya utoaji mimba Marekani yaibua utata mkubwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Marekani Joe Bidenametoa wito kwa wapiga kura wa Marekani Jumanne kutetea haki ya msingi ya kutoa mimba baada ya rasimu iliyovuja iliyopendekeza Mahakama ya Juu iko tayari kufuta uamuzi wa muda mrefu wa kulinda haki ya mwanamke kutoa mimba.

XS
SM
MD
LG