Wakati tarehe 3 Mei ni siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari, wahariri nchini Tanzania wanasema kuna mabadiliko makubwa katika kazi ya utangazaji habari chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu, ikilinganishwa na enzi ya hayati John Pombe Magufuli.