Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 18, 2025 Local time: 21:54

Wanahabari wa Tanzania wajivunia uhuru wa vyombo vya habari


Wanahabari wa Tanzania wajivunia uhuru wa vyombo vya habari
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakati tarehe 3 Mei ni siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari, wahariri nchini Tanzania wanasema kuna mabadiliko makubwa katika kazi ya utangazaji habari chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu, ikilinganishwa na enzi ya hayati John Pombe Magufuli.

XS
SM
MD
LG