Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza nyongeza ya asili mia 12 kwa mishahara ya chini ya wafanyakazi wa umma, huku serikali ya Tanzania ikisema suala la nyongeza litaangaliwa.
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza nyongeza ya asili mia 12 kwa mishahara ya chini ya wafanyakazi wa umma, huku serikali ya Tanzania ikisema suala la nyongeza litaangaliwa.