Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 05:04

Kenyatta asisitiza umuhimu wa amani Mashariki mwa DRC


Kenyatta asisitiza umuhimu wa amani Mashariki mwa DRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameongoza mkutano kati ya viongozi wa waasi nchini DRC na wajumbe wa serikali ya Rais Felix Tshisekedi katika juhudi za kutafuta amani Mashariki mwa nchi hiyo.

XS
SM
MD
LG