Kampuni kubwa ya mtandaoni ya Google yenye makao yake Marekani imetangaza mwezi huu itafungua kituo chake cha kwanza cha kutengeneza bidhaa barani Afrika kitakachokuwa na makao yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.
Kampuni kubwa ya mtandaoni ya Google yenye makao yake Marekani imetangaza mwezi huu itafungua kituo chake cha kwanza cha kutengeneza bidhaa barani Afrika kitakachokuwa na makao yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.