Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 08:18

Kampuni ya Google itafungua kituo cha kwanza cha bidhaa barani Afrika mjini Nairobi, Kenya


Kampuni ya Google itafungua kituo cha kwanza cha bidhaa barani Afrika mjini Nairobi, Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kampuni kubwa ya mtandaoni ya Google yenye makao yake Marekani imetangaza mwezi huu itafungua kituo chake cha kwanza cha kutengeneza bidhaa barani Afrika kitakachokuwa na makao yake katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.

XS
SM
MD
LG