Baada ya kubainiika kwamba bilionea Elon Musk amefikia makubaliano na kampuni ya Twitter kununua mtandao wake wa kijamii, mgawanyiko kati ya mirengo ya kisiasa Marekani imeanza kujidhihirisha huku mrengo wa kulia ukishangilia hatua hiyo na ule wa kushoto ukieleza wasiwasi wake.