Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Januari 23, 2025 Local time: 23:58

Habari kuhusu ununuzi wa mtandao wa Twitter zaibua hisia mseto


Habari kuhusu ununuzi wa mtandao wa Twitter zaibua hisia mseto
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Baada ya kubainiika kwamba bilionea Elon Musk amefikia makubaliano na kampuni ya Twitter kununua mtandao wake wa kijamii, mgawanyiko kati ya mirengo ya kisiasa Marekani imeanza kujidhihirisha huku mrengo wa kulia ukishangilia hatua hiyo na ule wa kushoto ukieleza wasiwasi wake.

XS
SM
MD
LG