Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:44

Kenya: wagombea urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza hadi May 16


Kenya: wagombea urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza hadi May 16
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) baada ya kukutana Jumanne na vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi wa Agosti 9, imetangaza kwamba wanaowania urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza kwa tume hiyo ifikapo tarehe 16 Mei.

XS
SM
MD
LG