Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 18:09

Bunge la Seneti nchini Kenya latarajiwa kupigia kura muswada wa uteuzi wa viti maalum


Bunge la Seneti nchini Kenya latarajiwa kupigia kura muswada wa uteuzi wa viti maalum
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Bunge la Seneti nchini Kenya linatarajiwa kujadili na kupigia kura muswada unaolazimisha uteuzi wa viti maalum uwe wa watu waliozaliwa au kusajiliwa kuwa wapiga kura katika majimbo hayo badala ya kuchukuliwa na wanasiasa wasiozaliwa maeneo hayo.

XS
SM
MD
LG