Bunge la Seneti nchini Kenya linatarajiwa kujadili na kupigia kura muswada unaolazimisha uteuzi wa viti maalum uwe wa watu waliozaliwa au kusajiliwa kuwa wapiga kura katika majimbo hayo badala ya kuchukuliwa na wanasiasa wasiozaliwa maeneo hayo.
Bunge la Seneti nchini Kenya linatarajiwa kujadili na kupigia kura muswada unaolazimisha uteuzi wa viti maalum uwe wa watu waliozaliwa au kusajiliwa kuwa wapiga kura katika majimbo hayo badala ya kuchukuliwa na wanasiasa wasiozaliwa maeneo hayo.