Mgombea Rais wa Kenya, Raila Odinga alikutana na Wakenya wanaoishi Marekani Jumapili na kuzungumzia sera zake kwa vijana na wanawake endapo atachaguliwa mwezi Agosti.
Mgombea Rais wa Kenya, Raila Odinga alikutana na Wakenya wanaoishi Marekani Jumapili na kuzungumzia sera zake kwa vijana na wanawake endapo atachaguliwa mwezi Agosti.