Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 13:25

Raila aambia Wakenya waishio Marekani atayapa kipau mbele masuala ya vijana na wanawake endapo atachaguliwa rais


Raila aambia Wakenya waishio Marekani atayapa kipau mbele masuala ya vijana na wanawake endapo atachaguliwa rais
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mgombea Rais wa Kenya, Raila Odinga alikutana na Wakenya wanaoishi Marekani Jumapili na kuzungumzia sera zake kwa vijana na wanawake endapo atachaguliwa mwezi Agosti.

XS
SM
MD
LG