Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesisitiza nia ya serikali yake kutoa hadhi maalum kwa watanzania wanaoishi ughaibuni badala ya uraia pacha.
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesisitiza nia ya serikali yake kutoa hadhi maalum kwa watanzania wanaoishi ughaibuni badala ya uraia pacha.