Katika Livetalk wiki hii tunaangazia wasifu wa rais wa zamani wa Kenya, Mwai Kibaki, aliyeaga dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 90. Wanasiasa, wananchi na wachambuzi wanatazama mafanikio ya uongozi wake na dosari katika safari yake ya kisiasa.
Katika Livetalk wiki hii tunaangazia wasifu wa rais wa zamani wa Kenya, Mwai Kibaki, aliyeaga dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 90. Wanasiasa, wananchi na wachambuzi wanatazama mafanikio ya uongozi wake na dosari katika safari yake ya kisiasa.