Wataalam wanasema uhaba wa mafuta unaoendelea kushuhudiwa katika baadhi ya nchi za Afrika Mashariki huenda ukawa na athari mbaya zaidi za kiuchumi katika siku za usoni.
Wataalam wanasema uhaba wa mafuta unaoendelea kushuhudiwa katika baadhi ya nchi za Afrika Mashariki huenda ukawa na athari mbaya zaidi za kiuchumi katika siku za usoni.