Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Januari 16, 2025 Local time: 19:30

Kenya imekuwa mwenyeji wa mkutano marais wa kikanda kujadili M23


Kenya imekuwa mwenyeji wa mkutano marais wa kikanda kujadili M23
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kenya imekuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa Uganda, DRC, na Rwanda kujadili M23. Makundi ya vijana wa Rutshuru, Kivu Kaskzini, DRC yamtaka Rais Felix Tshisekedi kuepuka mazungumzo na M23. Wakili wa kujitegemea wa Tanzania Peter Madeleka amedaiwa kukamatwa na wanaodaiwa polisi.

XS
SM
MD
LG