Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Novemba 28, 2023 Local time: 23:11

Sakata la Bodaboda na Bajaj kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam


Sakata la Bodaboda na Bajaj kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Katazo la Bodaboda na Bajaj kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, lasimamishwa na waziri Bashungwa. Jamii yaelezwa kuwa makini na mitazamo kwamba waschana wanaoweka picha zao kwenye mitandao ya kijamii si wote wenye nia mbaya. Jamii yatakiwa kukemea ulawiti na ubakaji kwa watoto.

XS
SM
MD
LG